Kumbukumbu la Torati 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nguruwe+ pia, kwa sababu ana ukwato uliopasuka lakini hacheui. Huyo si safi kwenu. Msile yoyote ya nyama yao, na mizoga yao msiiguse.+
8 Nguruwe+ pia, kwa sababu ana ukwato uliopasuka lakini hacheui. Huyo si safi kwenu. Msile yoyote ya nyama yao, na mizoga yao msiiguse.+