Kumbukumbu la Torati 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nayo hii ndiyo namna ya kuachilia huru:+ kila mkopeshaji ataachilia huru deni ambalo amemkopesha mwenzake. Hatamkaza mwenzake au ndugu yake afanye malipo,+ kwa sababu kuachilia huru kwa ajili ya Yehova lazima kutangazwe.+
2 Nayo hii ndiyo namna ya kuachilia huru:+ kila mkopeshaji ataachilia huru deni ambalo amemkopesha mwenzake. Hatamkaza mwenzake au ndugu yake afanye malipo,+ kwa sababu kuachilia huru kwa ajili ya Yehova lazima kutangazwe.+