Kumbukumbu la Torati 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Usikose kumtayarishia kitu fulani kutoka katika kundi lako na uwanja wako wa kupuria na mafuta yako na shinikizo lako la divai. Kama vile ambavyo Yehova Mungu wako amekubariki, unapaswa kumpa vivyo hivyo.+
14 Usikose kumtayarishia kitu fulani kutoka katika kundi lako na uwanja wako wa kupuria na mafuta yako na shinikizo lako la divai. Kama vile ambavyo Yehova Mungu wako amekubariki, unapaswa kumpa vivyo hivyo.+