18 Lisiwe jambo gumu machoni pako unapomruhusu aondoke katika ushirika wako akiwa mtu aliyewekwa huru;+ kwa sababu kwa thamani mara mbili ya mfanyakazi wa kukodiwa+ alikutumikia kwa miaka sita, na Yehova Mungu wako amekubariki katika kila kitu ambacho ulikuwa ukifanya.+