8 “Ikiwa jambo la uamuzi wa hukumu litakuwa lisilo la kawaida kwako,+ ambamo damu imemwagwa,+ ambamo dai halali limezushwa,+ au tendo lenye jeuri limefanywa, mambo ya mzozo,+ ndani ya malango yako, utaondoka pia na kwenda mahali ambapo Yehova Mungu wako atapachagua,+