Kumbukumbu la Torati 24:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nawe lazima ukumbuke kwamba ulikuwa mtumwa katika Misri, na Yehova Mungu wako alikukomboa kutoka huko.+ Ndiyo sababu ninakuamuru ufanye jambo hili.
18 Nawe lazima ukumbuke kwamba ulikuwa mtumwa katika Misri, na Yehova Mungu wako alikukomboa kutoka huko.+ Ndiyo sababu ninakuamuru ufanye jambo hili.