Kumbukumbu la Torati 28:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 ili asimpe yeyote kati yao nyama yoyote ya wanawe ambayo atakula, kwa kuwa hana chochote alichobaki nacho kwa sababu ya mbano na mkazo ambao adui yako atakusonga nao ndani ya malango yako yote.+ Kumbukumbu la Torati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 28:55 Mnara wa Mlinzi,8/1/1989, uku. 29
55 ili asimpe yeyote kati yao nyama yoyote ya wanawe ambayo atakula, kwa kuwa hana chochote alichobaki nacho kwa sababu ya mbano na mkazo ambao adui yako atakusonga nao ndani ya malango yako yote.+