Yoshua 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi Yoshua alikuwa amewaamuru watu,+ akisema: “Msipaaze sauti wala kuacha sauti zenu zisikike, na neno lolote lisitoke katika vinywa vyenu mpaka siku nitakapowaambia, ‘Paazeni sauti!’ Ndipo mtakapopaaza sauti.”+
10 Basi Yoshua alikuwa amewaamuru watu,+ akisema: “Msipaaze sauti wala kuacha sauti zenu zisikike, na neno lolote lisitoke katika vinywa vyenu mpaka siku nitakapowaambia, ‘Paazeni sauti!’ Ndipo mtakapopaaza sauti.”+