Yoshua 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Musa mtumishi wa Yehova na wana wa Israeli ndio waliowashinda,+ kisha Musa mtumishi wa Yehova akawapa Warubeni+ na Wagadi+ na nusu ya kabila la Manase+ iwe urithi wao.
6 Musa mtumishi wa Yehova na wana wa Israeli ndio waliowashinda,+ kisha Musa mtumishi wa Yehova akawapa Warubeni+ na Wagadi+ na nusu ya kabila la Manase+ iwe urithi wao.