Waamuzi 7:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Yerubaali,+ yaani, Gideoni,+ na watu wote waliokuwa pamoja naye, wakaondoka mapema na kupiga kambi kando ya kisima cha Harodi; na kambi ya Midiani ilikuwa upande wake wa kaskazini, kwenye kilima cha More, katika nchi tambarare ya chini.
7 Ndipo Yerubaali,+ yaani, Gideoni,+ na watu wote waliokuwa pamoja naye, wakaondoka mapema na kupiga kambi kando ya kisima cha Harodi; na kambi ya Midiani ilikuwa upande wake wa kaskazini, kwenye kilima cha More, katika nchi tambarare ya chini.