Waamuzi 8:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo akaenda kwa watu wa Sukothi na kusema: “Tazameni, Zeba na Zalmuna ambao mlinidhihaki kuwahusu, mkisema, ‘Je, viganja vya mikono vya Zeba na Zalmuna tayari vimo mkononi mwako ili watu wako waliochoka wapewe mkate?’”+
15 Ndipo akaenda kwa watu wa Sukothi na kusema: “Tazameni, Zeba na Zalmuna ambao mlinidhihaki kuwahusu, mkisema, ‘Je, viganja vya mikono vya Zeba na Zalmuna tayari vimo mkononi mwako ili watu wako waliochoka wapewe mkate?’”+