Waamuzi 8:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha akawaambia Zeba na Zalmuna:+ “Wale watu mliowaua katika Tabori+ walikuwa watu wa namna gani?” Wakasema: “Kama wewe ulivyo, ndivyo wao walivyokuwa, kila mmoja wao, kama wana wa mfalme katika umbo.”
18 Kisha akawaambia Zeba na Zalmuna:+ “Wale watu mliowaua katika Tabori+ walikuwa watu wa namna gani?” Wakasema: “Kama wewe ulivyo, ndivyo wao walivyokuwa, kila mmoja wao, kama wana wa mfalme katika umbo.”