Waamuzi 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Na sasa ikiwa mmetenda kwa ukweli na bila kosa, mkamfanya Abimeleki kuwa mfalme,+ na ikiwa wema ndio mmemwonyesha Yerubaali na nyumba yake, na ikiwa mmemtendea sawasawa na matendo ya mikono yake,
16 “Na sasa ikiwa mmetenda kwa ukweli na bila kosa, mkamfanya Abimeleki kuwa mfalme,+ na ikiwa wema ndio mmemwonyesha Yerubaali na nyumba yake, na ikiwa mmemtendea sawasawa na matendo ya mikono yake,