15 utaweka juu yako mfalme ambaye Yehova Mungu wako atachagua.+ Kutoka katikati ya ndugu zako utaweka mfalme juu yako. Hutaruhusiwa kuweka juu yako mgeni ambaye si ndugu yako.
6 Baadaye, watu wote wenye mashamba wa Shekemu na nyumba yote ya Milo+ wakakusanyika pamoja wakaenda, wakamfanya Abimeleki atawale akiwa mfalme,+ karibu na ule mti mkubwa,+ nguzo iliyokuwa katika Shekemu.+
15 Ndipo mkwamba ukaiambia miti, ‘Ikiwa kweli mnanitia mafuta niwe mfalme juu yenu, njooni, tafuteni kimbilio chini ya kivuli changu.+ Lakini kama sivyo, moto+ na utoke ndani ya mkwamba uiteketeze mierezi+ ya Lebanoni.’+