Waamuzi 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na mke wa Gileadi akaendelea kumzalia wana. Wakati wana wa mke yule walipokuwa wakubwa, wakamfukuza Yeftha na kumwambia: “Usiwe na urithi wowote katika nyumba ya baba yetu,+ kwa sababu wewe ni mwana wa mwanamke mwingine.” Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:2 Mnara wa Mlinzi (Funzo),4/2016, uku. 6
2 Na mke wa Gileadi akaendelea kumzalia wana. Wakati wana wa mke yule walipokuwa wakubwa, wakamfukuza Yeftha na kumwambia: “Usiwe na urithi wowote katika nyumba ya baba yetu,+ kwa sababu wewe ni mwana wa mwanamke mwingine.”