10 Kwa hiyo akaanza kumwambia Abrahamu: “Mfukuze kijakazi huyu na mwana wake, kwa maana mwana wa kijakazi huyu hatakuwa mrithi pamoja na mwanangu, Isaka!”+
15 “Ikiwa mwanamume atakuwa na wake wawili, mmoja anayependwa na mwingine anayechukiwa, nao, yule anayependwa na yule anayechukiwa, wamzalie wana, na iwe kwamba mwana mzaliwa wa kwanza ni wa yule anayechukiwa,+