Mwanzo 29:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kisha akalala na Raheli pia, naye akamwonyesha Raheli upendo zaidi kuliko Lea,+ naye akamtumikia Labani kwa miaka saba zaidi.+ Mwanzo 29:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Ni kwa sababu Yehova amesikiliza,+ kwa kuwa nilichukiwa na kwa hiyo akanipa huyu pia.” Ndipo akamwita jina lake Simeoni.+ 1 Samweli 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na ikafika siku ambapo Elkana alitoa dhabihu, naye akawapa mafungu Penina mke wake na wanawe na binti zake wote;+
30 Kisha akalala na Raheli pia, naye akamwonyesha Raheli upendo zaidi kuliko Lea,+ naye akamtumikia Labani kwa miaka saba zaidi.+
33 Naye akapata mimba tena, akazaa mwana kisha akasema: “Ni kwa sababu Yehova amesikiliza,+ kwa kuwa nilichukiwa na kwa hiyo akanipa huyu pia.” Ndipo akamwita jina lake Simeoni.+
4 Na ikafika siku ambapo Elkana alitoa dhabihu, naye akawapa mafungu Penina mke wake na wanawe na binti zake wote;+