Waamuzi 11:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Naye akaendelea kumwambia baba yake: “Na nifanyiwe jambo hili: Niache kwa miezi miwili, niende, nami nitashuka milimani, na acha niulilie ubikira wangu,+ mimi pamoja na wasichana wenzangu.” Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:37 Mnara wa Mlinzi (Funzo),4/2017, uku. 4
37 Naye akaendelea kumwambia baba yake: “Na nifanyiwe jambo hili: Niache kwa miezi miwili, niende, nami nitashuka milimani, na acha niulilie ubikira wangu,+ mimi pamoja na wasichana wenzangu.”