16 Sasa huyo mwanamke kijana alikuwa mwenye sura ya kuvutia sana,+ bikira, wala hakuna mwanamume aliyekuwa amelala naye.+ Akateremka kuja kwenye chemchemi, akaanza kujaza mtungi wake wa maji kisha akapanda.
14 Nao wanawake wakaanza kumwambia+ Naomi: “Na abarikiwe Yehova,+ ambaye amehakikisha kwamba mtu wa kukukomboa hakukosekana leo; jina lake na lipate kutangazwa katika Israeli.