Waamuzi 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini Yeftha akawaambia: “Mimi na watu wangu tulikuwa na ugomvi mkubwa pamoja na wana wa Amoni.+ Nami nikawaomba ninyi msaada, wala hamkuniokoa kutoka mkononi mwao.
2 Lakini Yeftha akawaambia: “Mimi na watu wangu tulikuwa na ugomvi mkubwa pamoja na wana wa Amoni.+ Nami nikawaomba ninyi msaada, wala hamkuniokoa kutoka mkononi mwao.