Waamuzi 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Manoa akaanza kumsihi Yehova, akisema: “Nakuomba radhi, Yehova.+ Tafadhali, yule mtu wa Mungu wa kweli ambaye ulimtuma na arudi kwetu tena, atufundishe+ yale tunayopaswa kumtendea huyo mtoto atakayezaliwa.”+ Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 13:8 Mnara wa Mlinzi,11/15/2015, uku. 38/15/2013, uku. 16
8 Na Manoa akaanza kumsihi Yehova, akisema: “Nakuomba radhi, Yehova.+ Tafadhali, yule mtu wa Mungu wa kweli ambaye ulimtuma na arudi kwetu tena, atufundishe+ yale tunayopaswa kumtendea huyo mtoto atakayezaliwa.”+