Waamuzi 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na malaika wa Yehova hakumtokea tena Manoa na mke wake. Ndipo Manoa akajua kwamba huyo alikuwa ni malaika wa Yehova.+
21 Na malaika wa Yehova hakumtokea tena Manoa na mke wake. Ndipo Manoa akajua kwamba huyo alikuwa ni malaika wa Yehova.+