Waamuzi 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Lakini baba yake akasema: “Kwa kweli nilisema moyoni mwangu, ‘Bila shaka unamchukia.’+ Kwa hiyo nikampa rafiki yako mwanamke huyo.+ Je, dada yake mdogo si bora kuliko yeye? Tafadhali, yeye na awe wako badala ya yule mwingine.”
2 Lakini baba yake akasema: “Kwa kweli nilisema moyoni mwangu, ‘Bila shaka unamchukia.’+ Kwa hiyo nikampa rafiki yako mwanamke huyo.+ Je, dada yake mdogo si bora kuliko yeye? Tafadhali, yeye na awe wako badala ya yule mwingine.”