Waamuzi 14:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini akaendelea kumlilia zile siku saba ambazo waliendelea na karamu, basi mwishowe ikawa kwenye siku ya saba akamwambia, kwa sababu mwanamke huyo alikuwa amemkaza.+ Kwa hiyo mwanamke huyo akawaambia wana wa watu wake kitendawili hicho.+
17 Lakini akaendelea kumlilia zile siku saba ambazo waliendelea na karamu, basi mwishowe ikawa kwenye siku ya saba akamwambia, kwa sababu mwanamke huyo alikuwa amemkaza.+ Kwa hiyo mwanamke huyo akawaambia wana wa watu wake kitendawili hicho.+