16 Na ikawa kwamba kwa sababu mwanamke huyo alimkaza+ kwa maneno yake wakati wote na kuendelea kumsihi, nafsi yake ikakosa subira kufikia hatua ya kutaka kufa.+
8 Ninawaambia ninyi, Ijapokuwa hataamka ampe chochote kwa sababu ya kuwa rafiki yake, hakika kwa sababu ya kudumu kwake kwa ujasiri,+ ataamka na kumpa vitu anavyohitaji.