Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na ikawa kwamba kwa sababu mwanamke huyo alimkaza+ kwa maneno yake wakati wote na kuendelea kumsihi, nafsi yake ikakosa subira kufikia hatua ya kutaka kufa.+

  • Methali 19:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mwana mjinga humaanisha shida kwa baba yake,+ na ugomvi wa mke ni kama paa inayovuja ambayo humfukuzia mbali mtu.+

  • Methali 21:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ni afadhali kukaa nyikani kuliko kukaa pamoja na mke mgomvi pamoja na uchokozi.+

  • Luka 11:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ninawaambia ninyi, Ijapokuwa hataamka ampe chochote kwa sababu ya kuwa rafiki yake, hakika kwa sababu ya kudumu kwake kwa ujasiri,+ ataamka na kumpa vitu anavyohitaji.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki