Waamuzi 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi akazikaza kwa msumari, kisha akamwambia: “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!”+ Ndipo akaamka kutoka katika usingizi wake, akaung’oa ule msumari wa wafumaji na ule uzi wa mtande.
14 Basi akazikaza kwa msumari, kisha akamwambia: “Wafilisti wako juu yako, Samsoni!”+ Ndipo akaamka kutoka katika usingizi wake, akaung’oa ule msumari wa wafumaji na ule uzi wa mtande.