Waamuzi 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi baba-mkwe wake, baba ya yule mwanamke kijana, akamzuia, akaendelea kukaa pamoja naye kwa siku tatu; nao wakawa wakila na kunywa, naye akawa akilala hapo usiku kucha.+
4 Basi baba-mkwe wake, baba ya yule mwanamke kijana, akamzuia, akaendelea kukaa pamoja naye kwa siku tatu; nao wakawa wakila na kunywa, naye akawa akilala hapo usiku kucha.+