Ruthu 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 je, mngewangojea mpaka wawe wakubwa? Je, mngejitenga kwa ajili yao hivi kwamba msipate kuwa wake za waume wengine? Hapana, binti zangu, kwa maana nina uchungu sana kwa sababu yenu, kwamba mkono wa Yehova umenigeukia.”+ Ruthu Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:13 w05 3/1 27 Ruthu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:13 Mnara wa Mlinzi (Funzo),11/2021, kur. 9-10 The Watchtower,3/1/2005, uku. 27
13 je, mngewangojea mpaka wawe wakubwa? Je, mngejitenga kwa ajili yao hivi kwamba msipate kuwa wake za waume wengine? Hapana, binti zangu, kwa maana nina uchungu sana kwa sababu yenu, kwamba mkono wa Yehova umenigeukia.”+