1 Samweli 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na mlichukue sanduku la Yehova mliweke juu ya lile gari, na vile vyombo vya dhahabu+ ambavyo mtamrudishia kama toleo la hatia+ mviweke ndani ya sanduku kando yake. Nanyi mnapaswa kuliacha liende, nalo linapaswa kwenda.
8 Na mlichukue sanduku la Yehova mliweke juu ya lile gari, na vile vyombo vya dhahabu+ ambavyo mtamrudishia kama toleo la hatia+ mviweke ndani ya sanduku kando yake. Nanyi mnapaswa kuliacha liende, nalo linapaswa kwenda.