1 Samweli 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Lakini yeye akamwambia: “Tafadhali, tazama! Kuna mtu wa Mungu+ katika jiji hili, na mtu huyo anaheshimiwa. Kila jambo analosema hutimia bila kukosa.+ Na twende huko sasa. Labda anaweza kutuambia njia yetu tunayopaswa kuiendea.”
6 Lakini yeye akamwambia: “Tafadhali, tazama! Kuna mtu wa Mungu+ katika jiji hili, na mtu huyo anaheshimiwa. Kila jambo analosema hutimia bila kukosa.+ Na twende huko sasa. Labda anaweza kutuambia njia yetu tunayopaswa kuiendea.”