1 Samweli 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na vikosi vya waporaji vikawa vikifanya mashambulizi kutoka katika kambi ya Wafilisti vikiwa vikosi vitatu.+ Kikosi kimoja kikawa kikigeukia kwenye barabara inayoenda Ofra,+ mpaka nchi ya Shuali,
17 Na vikosi vya waporaji vikawa vikifanya mashambulizi kutoka katika kambi ya Wafilisti vikiwa vikosi vitatu.+ Kikosi kimoja kikawa kikigeukia kwenye barabara inayoenda Ofra,+ mpaka nchi ya Shuali,