39 Kisha Daudi akafunga upanga wake juu ya mavazi yake, akaanza kwenda, lakini hakuweza, kwa sababu hakuwa amevijaribu vitu hivyo. Mwishowe Daudi akamwambia Sauli: “Mimi siwezi kwenda nikiwa nimevaa vitu hivi, kwa maana sijavijaribu bado.” Kwa hiyo Daudi akavivua.+