1 Samweli 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na Daudi akakimbia, akaponyoka,+ akaenda kwa Samweli huko Rama.+ Naye akamwambia mambo yote ambayo Sauli alikuwa amemfanyia. Ndipo yeye na Samweli wakaenda zao, wakaanza kukaa katika Naiothi.+
18 Na Daudi akakimbia, akaponyoka,+ akaenda kwa Samweli huko Rama.+ Naye akamwambia mambo yote ambayo Sauli alikuwa amemfanyia. Ndipo yeye na Samweli wakaenda zao, wakaanza kukaa katika Naiothi.+