1 Samweli 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mwishowe yeye pia akaenda Rama. Alipofika kwenye tangi kubwa la maji lililo katika Seku, akaanza kuuliza na kusema: “Samweli na Daudi wako wapi?” Nao wakasema: “Wako Naiothi+ katika Rama.”
22 Mwishowe yeye pia akaenda Rama. Alipofika kwenye tangi kubwa la maji lililo katika Seku, akaanza kuuliza na kusema: “Samweli na Daudi wako wapi?” Nao wakasema: “Wako Naiothi+ katika Rama.”