1 Samweli 23:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ndipo Daudi akamuuliza+ Yehova, akisema: “Je, niende, na je, niwapige hawa Wafilisti?” Na Yehova akamwambia Daudi: “Nenda, nawe uwapige Wafilisti, uokoe Keila.”
2 Ndipo Daudi akamuuliza+ Yehova, akisema: “Je, niende, na je, niwapige hawa Wafilisti?” Na Yehova akamwambia Daudi: “Nenda, nawe uwapige Wafilisti, uokoe Keila.”