1 Samweli 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na ikawa kwamba, mara tu Daudi alipomaliza kumwambia Sauli maneno hayo, Sauli akasema: “Je, hii ni sauti yako, Daudi mwanangu?”+ Naye Sauli akapaaza sauti yake, akalia.+
16 Na ikawa kwamba, mara tu Daudi alipomaliza kumwambia Sauli maneno hayo, Sauli akasema: “Je, hii ni sauti yako, Daudi mwanangu?”+ Naye Sauli akapaaza sauti yake, akalia.+