1 Samweli 25:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo Daudi akatuma wanaume kumi vijana, na Daudi akawaambia hao vijana: “Pandeni, mwende Karmeli, mfike kwa Nabali, mkamuulize kwa jina langu kuhusu hali yake.+
5 Kwa hiyo Daudi akatuma wanaume kumi vijana, na Daudi akawaambia hao vijana: “Pandeni, mwende Karmeli, mfike kwa Nabali, mkamuulize kwa jina langu kuhusu hali yake.+