9 Hata hivyo, yule mwanamke akamwambia: “Tazama, wewe mwenyewe unajua vema yale ambayo Sauli alifanya, jinsi alivyowakatilia mbali kutoka katika nchi wenye kuwasiliana na pepo na wajuzi wa kubashiri matukio.+ Kwa nini, basi, unatenda kama mtu anayeitegea nafsi yangu mtego ili ufanye niuawe?”+