1 Samweli 30:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Sasa Daudi akamwambia: “Wewe ni wa nani, nawe unatoka wapi?” naye akasema: “Mimi ni mtumishi Mmisri, mtumwa wa mtu Mwamaleki, lakini bwana wangu aliniacha kwa sababu nilishikwa na ugonjwa siku tatu zilizopita.+
13 Sasa Daudi akamwambia: “Wewe ni wa nani, nawe unatoka wapi?” naye akasema: “Mimi ni mtumishi Mmisri, mtumwa wa mtu Mwamaleki, lakini bwana wangu aliniacha kwa sababu nilishikwa na ugonjwa siku tatu zilizopita.+