2 Samweli 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo wakaanza kukamatana kwa vichwa, huku upanga wa kila mmoja ukiwa katika ubavu wa mwenzake, nao wakaanguka pamoja. Na mahali hapo pakaitwa Helkath-hasurimu, napo ni katika Gibeoni.+
16 Ndipo wakaanza kukamatana kwa vichwa, huku upanga wa kila mmoja ukiwa katika ubavu wa mwenzake, nao wakaanguka pamoja. Na mahali hapo pakaitwa Helkath-hasurimu, napo ni katika Gibeoni.+