2 Samweli 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini Daudi akamwambia Mikali: “Ilikuwa mbele za Yehova, aliyenichagua mimi badala ya baba yako na nyumba yake yote, akanipa amri+ niwe kiongozi juu ya Israeli, watu wa Yehova, nami nitasherehekea mbele za Yehova.+
21 Lakini Daudi akamwambia Mikali: “Ilikuwa mbele za Yehova, aliyenichagua mimi badala ya baba yako na nyumba yake yote, akanipa amri+ niwe kiongozi juu ya Israeli, watu wa Yehova, nami nitasherehekea mbele za Yehova.+