2 Samweli 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi Hadadezeri+ akatuma watu na kuleta Wasiria waliokuwa katika eneo la ule Mto;+ kisha wakaja mpaka Helamu, naye Shobaki+ mkuu wa jeshi la Hadadezeri akiwa mbele yao.
16 Basi Hadadezeri+ akatuma watu na kuleta Wasiria waliokuwa katika eneo la ule Mto;+ kisha wakaja mpaka Helamu, naye Shobaki+ mkuu wa jeshi la Hadadezeri akiwa mbele yao.