2 Samweli 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa hiyo akamwambia: “Kwa nini wewe, mwana wa mfalme, una huzuni hivi, asubuhi baada ya asubuhi? Je, hutaki kuniambia?”+ Ndipo Amnoni akamwambia: “Ninampenda Tamari dada+ ya Absalomu ndugu yangu.”+
4 Kwa hiyo akamwambia: “Kwa nini wewe, mwana wa mfalme, una huzuni hivi, asubuhi baada ya asubuhi? Je, hutaki kuniambia?”+ Ndipo Amnoni akamwambia: “Ninampenda Tamari dada+ ya Absalomu ndugu yangu.”+