2 Samweli 14:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mjakazi wako alikuwa na wana wawili, na hao wawili wakaanza kupambana shambani,+ na hapakuwa na mkombozi+ wa kuwatenganisha. Mwishowe mmoja akampiga mwenzake, akamuua.
6 Na mjakazi wako alikuwa na wana wawili, na hao wawili wakaanza kupambana shambani,+ na hapakuwa na mkombozi+ wa kuwatenganisha. Mwishowe mmoja akampiga mwenzake, akamuua.