2 Samweli 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Absalomu akaendelea kuwafanyia jambo kama hilo Waisraeli wote waliokuwa wakija kwa mfalme ili kuamuliwa; na Absalomu akaendelea kuiba mioyo ya watu wa Israeli.+ 2 Samweli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 15:6 w12 7/15 13 2 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:6 Mnara wa Mlinzi,7/15/2012, uku. 13
6 Na Absalomu akaendelea kuwafanyia jambo kama hilo Waisraeli wote waliokuwa wakija kwa mfalme ili kuamuliwa; na Absalomu akaendelea kuiba mioyo ya watu wa Israeli.+