2 Samweli 15:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Je, Sadoki na Abiathari, makuhani, hawako huko pamoja nawe?+ Na itatukia kwamba kila jambo ambalo huenda ukalisikia kutoka katika nyumba ya mfalme, utamwambia Sadoki na Abiathari, makuhani.+
35 Je, Sadoki na Abiathari, makuhani, hawako huko pamoja nawe?+ Na itatukia kwamba kila jambo ambalo huenda ukalisikia kutoka katika nyumba ya mfalme, utamwambia Sadoki na Abiathari, makuhani.+