2 Samweli 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akiingia ndani ya jiji fulani, Israeli wote watachukua kamba mpaka kwenye jiji hilo, nasi tutalivuta mpaka kwenye bonde la mto, lisibaki hata jiwe moja humo.”+
13 Naye akiingia ndani ya jiji fulani, Israeli wote watachukua kamba mpaka kwenye jiji hilo, nasi tutalivuta mpaka kwenye bonde la mto, lisibaki hata jiwe moja humo.”+