2 Samweli 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hata hivyo, kijana fulani akawaona, akamwambia Absalomu. Basi hao wawili wakaenda mbio, wakaja kwenye nyumba ya mtu fulani katika Bahurimu,+ aliyekuwa na kisima katika ua wake; nao wakashuka ndani ya kisima hicho.
18 Hata hivyo, kijana fulani akawaona, akamwambia Absalomu. Basi hao wawili wakaenda mbio, wakaja kwenye nyumba ya mtu fulani katika Bahurimu,+ aliyekuwa na kisima katika ua wake; nao wakashuka ndani ya kisima hicho.