2 Samweli 18:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hata hivyo, mfalme akasema: “Je, mambo ni mema kwa yule kijana Absalomu?” Naye Ahimaazi akasema: “Niliona ghasia kubwa wakati Yoabu alipotuma mtumishi wa mfalme na mtumishi wako, nami sikujua ni ya nini.”+
29 Hata hivyo, mfalme akasema: “Je, mambo ni mema kwa yule kijana Absalomu?” Naye Ahimaazi akasema: “Niliona ghasia kubwa wakati Yoabu alipotuma mtumishi wa mfalme na mtumishi wako, nami sikujua ni ya nini.”+