2 Samweli 21:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo akawatia mkononi mwa Wagibeoni, nao wakawaweka kwenye mlima mbele za Yehova,+ hivi kwamba hao saba wakaanguka pamoja; nao waliuawa katika siku za kwanza za mavuno, mwanzoni mwa mavuno ya shayiri.+ 2 Samweli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 21:9 Mnara wa Mlinzi (Funzo),3/2022, uku. 13
9 Ndipo akawatia mkononi mwa Wagibeoni, nao wakawaweka kwenye mlima mbele za Yehova,+ hivi kwamba hao saba wakaanguka pamoja; nao waliuawa katika siku za kwanza za mavuno, mwanzoni mwa mavuno ya shayiri.+